Mambo ya Walawi 6:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “‘Chochote ambacho huenda kikagusa nyama yake kitakuwa kitakatifu,+ na mtu yeyote akitapanya damu yake juu ya vazi,+ utakioshea katika mahali patakatifu kile ambacho ametapanya damu juu yake.+ Luka 8:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 akamkaribia kutoka nyuma akaugusa upindo+ wa vazi lake la nje,+ na mtiririko wake wa damu ukaisha mara moja.+
27 “‘Chochote ambacho huenda kikagusa nyama yake kitakuwa kitakatifu,+ na mtu yeyote akitapanya damu yake juu ya vazi,+ utakioshea katika mahali patakatifu kile ambacho ametapanya damu juu yake.+
44 akamkaribia kutoka nyuma akaugusa upindo+ wa vazi lake la nje,+ na mtiririko wake wa damu ukaisha mara moja.+