Mathayo 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 kwa maana alikuwa akisema moyoni mwake: “Nikigusa tu vazi lake la nje nitapona.”+ Marko 5:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Aliposikia juu ya Yesu, akaja kutoka nyuma katika ule umati na kuligusa+ vazi lake la nje;