Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Kwa hiyo mtu fulani akamwambia: “Tazama! Mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wakitaka kusema nawe.”

  • Marko 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo+ na Yosefu na Yuda na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Kwa hiyo wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+

  • Luka 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata hivyo, akaambiwa: “Mama yako na ndugu zako wamesimama nje wakitaka kukuona.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki