Marko 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mpandaji hulipanda neno.+ Luka 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Mpandaji alienda kupanda mbegu zake. Basi, alipokuwa akipanda, mbegu fulani zikaanguka kando ya barabara zikakanyagwa-kanyagwa, na ndege wa mbinguni wakazila.+
5 “Mpandaji alienda kupanda mbegu zake. Basi, alipokuwa akipanda, mbegu fulani zikaanguka kando ya barabara zikakanyagwa-kanyagwa, na ndege wa mbinguni wakazila.+