Mathayo 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nyingine, pia, zikaanguka katikati ya miiba, na ile miiba ikamea na kuzisonga.+ Marko 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Bado kuna wengine wanaopandwa katikati ya miiba; hawa ndio ambao wamelisikia neno,+ Marko 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 lakini mahangaiko+ ya mfumo huu wa mambo na nguvu za udanganyifu za utajiri+ na tamaa+ za mambo yale mengine hupenya na kulisonga neno, nalo hukosa kuzaa matunda.+ Luka 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nyingine zikaanguka katikati ya miiba, na miiba iliyokua pamoja nazo ikazisonga.+
19 lakini mahangaiko+ ya mfumo huu wa mambo na nguvu za udanganyifu za utajiri+ na tamaa+ za mambo yale mengine hupenya na kulisonga neno, nalo hukosa kuzaa matunda.+