Mathayo 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nyingine, pia, zikaanguka katikati ya miiba, na ile miiba ikamea na kuzisonga.+ Marko 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na mbegu nyingine zikaanguka katikati ya miiba, na ile miiba ikamea na kuzisonga, nazo hazikuzaa tunda lolote.+ Luka 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nazo zile zilizoanguka katikati ya miiba, hawa ndio ambao wamesikia, lakini, kwa kuchukuliwa na mahangaiko na utajiri na raha+ za maisha haya, wao husongwa kabisa na hawatimizi chochote.+
7 Na mbegu nyingine zikaanguka katikati ya miiba, na ile miiba ikamea na kuzisonga, nazo hazikuzaa tunda lolote.+
14 Nazo zile zilizoanguka katikati ya miiba, hawa ndio ambao wamesikia, lakini, kwa kuchukuliwa na mahangaiko na utajiri na raha+ za maisha haya, wao husongwa kabisa na hawatimizi chochote.+