23 Bwana wake akamwambia, ‘Vema, mtumwa mwema na mwaminifu! Ulikuwa mwaminifu juu ya mambo machache. Nitakuweka juu ya mambo mengi.+ Ingia katika shangwe+ ya bwana wako.’
18 Kwa hiyo kazieni uangalifu jinsi mnavyosikiliza; kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa,+ lakini yeyote ambaye hana kitu, hata kile anachowazia kwamba anacho kitachukuliwa.”+