Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa naye atazidishiwa;+ lakini yeyote ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+

  • Mathayo 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Bwana wake akamwambia, ‘Vema, mtumwa mwema na mwaminifu! Ulikuwa mwaminifu juu ya mambo machache. Nitakuweka juu ya mambo mengi.+ Ingia katika shangwe+ ya bwana wako.’

  • Luka 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo kazieni uangalifu jinsi mnavyosikiliza; kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa,+ lakini yeyote ambaye hana kitu, hata kile anachowazia kwamba anacho kitachukuliwa.”+

  • Luka 19:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ‘Ninawaambia ninyi, Kila mtu aliye na kitu, ataongezewa; lakini yule ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki