Mathayo 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa naye atazidishiwa;+ lakini yeyote ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+ Mathayo 25:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana kila mtu aliye na kitu, ataongezewa naye atakuwa na vingi; lakini yule ambaye hana kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+ Marko 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa; lakini yule ambaye hana kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”+ Luka 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo kazieni uangalifu jinsi mnavyosikiliza; kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa,+ lakini yeyote ambaye hana kitu, hata kile anachowazia kwamba anacho kitachukuliwa.”+
12 Kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa naye atazidishiwa;+ lakini yeyote ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+
29 Kwa maana kila mtu aliye na kitu, ataongezewa naye atakuwa na vingi; lakini yule ambaye hana kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+
25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa; lakini yule ambaye hana kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”+
18 Kwa hiyo kazieni uangalifu jinsi mnavyosikiliza; kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa,+ lakini yeyote ambaye hana kitu, hata kile anachowazia kwamba anacho kitachukuliwa.”+