Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 8:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na, tazama! jiji lote likajitokeza ili kukutana na Yesu; na walipokwisha kumwona, wakamsihi aondoke katika wilaya zao.+

  • Luka 8:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa hiyo umati wote kutoka nchi yenye kuzunguka ya Wagerasene ukamwomba aondoke kwao, kwa sababu walikuwa wameshikwa na woga mkubwa.+ Ndipo akapanda ndani ya mashua na kurudi.

  • Matendo 16:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa hiyo wakaja na kuwasihi na, baada ya kuwatoa nje, wakawaomba waondoke katika jiji hilo.

  • 1 Wakorintho 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki