Mathayo 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yesu akaanza kusema: “Ondokeni hapa, kwa maana msichana mdogo hakufa, bali analala usingizi.”+ Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau.+ Luka 8:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Alipofika kwenye nyumba hiyo hakumruhusu yeyote aingie pamoja naye ila Petro na Yohana na Yakobo na baba na mama ya msichana huyo.+ Luka 8:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau, kwa sababu walijua alikuwa amekufa.+
24 Yesu akaanza kusema: “Ondokeni hapa, kwa maana msichana mdogo hakufa, bali analala usingizi.”+ Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau.+
51 Alipofika kwenye nyumba hiyo hakumruhusu yeyote aingie pamoja naye ila Petro na Yohana na Yakobo na baba na mama ya msichana huyo.+