Mathayo 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili ya ndani, wala viatu wala fimbo; kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+ Matendo 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Malaika+ akamwambia: “Jifunge kiuno na uvae viatu vyako.” Akafanya hivyo. Mwishowe akamwambia: “Vaa vazi+ lako la nje uendelee kunifuata.”
10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili ya ndani, wala viatu wala fimbo; kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+
8 Malaika+ akamwambia: “Jifunge kiuno na uvae viatu vyako.” Akafanya hivyo. Mwishowe akamwambia: “Vaa vazi+ lako la nje uendelee kunifuata.”