Yohana 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo, Yesu alipoinua macho yake na kuona kwamba umati mkubwa walikuwa wakimjia, akamwambia Filipo: “Tutanunua wapi mikate ili hawa wale?”+
5 Kwa hiyo, Yesu alipoinua macho yake na kuona kwamba umati mkubwa walikuwa wakimjia, akamwambia Filipo: “Tutanunua wapi mikate ili hawa wale?”+