Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi alipotokea akaona umati mkubwa; naye akawasikitikia,+ akaponya wagonjwa wao.+

  • Marko 6:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kufikia wakati huo saa ilikuwa imesonga sana, na wanafunzi wake wakamjia na kuanza kusema: “Mahali hapa hapana watu, na saa tayari imesonga sana.+

  • Luka 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo mchana ukaanza kushuka. Wale kumi na wawili sasa wakaja na kumwambia: “Waambie umati waondoke, waende vijijini na upande wa mashambani wenye kuzunguka na kujipatia makao na wapate chakula, kwa sababu huku nje sisi tuko katika mahali pasipo na watu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki