Zaburi 78:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi wakaanza kusema vibaya juu ya Mungu.+Walisema: “Je, Mungu anaweza kutayarisha meza nyikani?”+ Mathayo 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini jioni ilipofika wanafunzi wake wakamjia na kusema: “Mahali hapa hapana watu na saa tayari imesonga sana; acha umati waende zao, ili wapate kwenda vijijini na kujinunulia chakula.”+ Marko 6:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kufikia wakati huo saa ilikuwa imesonga sana, na wanafunzi wake wakamjia na kuanza kusema: “Mahali hapa hapana watu, na saa tayari imesonga sana.+ Yohana 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo, Yesu alipoinua macho yake na kuona kwamba umati mkubwa walikuwa wakimjia, akamwambia Filipo: “Tutanunua wapi mikate ili hawa wale?”+
19 Basi wakaanza kusema vibaya juu ya Mungu.+Walisema: “Je, Mungu anaweza kutayarisha meza nyikani?”+
15 Lakini jioni ilipofika wanafunzi wake wakamjia na kusema: “Mahali hapa hapana watu na saa tayari imesonga sana; acha umati waende zao, ili wapate kwenda vijijini na kujinunulia chakula.”+
35 Kufikia wakati huo saa ilikuwa imesonga sana, na wanafunzi wake wakamjia na kuanza kusema: “Mahali hapa hapana watu, na saa tayari imesonga sana.+
5 Kwa hiyo, Yesu alipoinua macho yake na kuona kwamba umati mkubwa walikuwa wakimjia, akamwambia Filipo: “Tutanunua wapi mikate ili hawa wale?”+