Luka 4:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndipo wote wakashangaa, nao wakaanza kuongea wao kwa wao, wakisema: “Maneno haya ni ya namna gani, kwa sababu yeye huagiza roho wachafu kwa mamlaka na nguvu, nao hutoka?”+
36 Ndipo wote wakashangaa, nao wakaanza kuongea wao kwa wao, wakisema: “Maneno haya ni ya namna gani, kwa sababu yeye huagiza roho wachafu kwa mamlaka na nguvu, nao hutoka?”+