-
Luka 4:36Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
36 Wote wakashangaa na kuanza kuambiana: “Anazungumza kwa mamlaka sana! Anawaagiza roho waovu kwa mamlaka na nguvu, nao wanatoka!”
-
-
Luka 4:36Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
36 Ndipo, mshangao ukawa juu ya wote, nao wakaanza kuongea wao kwa wao, wakisema: “Ni wa namna gani usemi huu, kwa sababu kwa mamlaka na nguvu yeye huagiza roho wasio safi, nao hutoka?”
-