Mathayo 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wakasema: “Baadhi yao husema Yohana Mbatizaji,+ wengine Eliya,+ na wengine bado Yeremia au mmoja wa manabii.” Luka 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wakajibu wakasema: “Yohana Mbatizaji; lakini wengine, Eliya, na wengine bado, kwamba mmoja wa manabii wa kale amefufuliwa.”+
14 Wakasema: “Baadhi yao husema Yohana Mbatizaji,+ wengine Eliya,+ na wengine bado Yeremia au mmoja wa manabii.”
19 Wakajibu wakasema: “Yohana Mbatizaji; lakini wengine, Eliya, na wengine bado, kwamba mmoja wa manabii wa kale amefufuliwa.”+