Mathayo 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wakasema: “Baadhi yao husema Yohana Mbatizaji,+ wengine Eliya,+ na wengine bado Yeremia au mmoja wa manabii.” Marko 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wakamwambia: “Yohana Mbatizaji,+ na wengine, Eliya,+ na wengine bado, Mmoja wa manabii.”+ Luka 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa Herode mtawala wa wilaya akasikia juu ya mambo yote yaliyokuwa yakitukia, naye akafadhaika sana kwa sababu baadhi ya watu walikuwa wakisema kwamba Yohana alikuwa amefufuliwa kutoka kwa wafu,+
14 Wakasema: “Baadhi yao husema Yohana Mbatizaji,+ wengine Eliya,+ na wengine bado Yeremia au mmoja wa manabii.”
7 Sasa Herode mtawala wa wilaya akasikia juu ya mambo yote yaliyokuwa yakitukia, naye akafadhaika sana kwa sababu baadhi ya watu walikuwa wakisema kwamba Yohana alikuwa amefufuliwa kutoka kwa wafu,+