Mathayo 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kuwaambia watumishi wake: “Huyu ndiye Yohana Mbatizaji. Alifufuliwa kutoka kwa wafu, na ndiyo sababu anatenda kazi zenye nguvu.”+ Marko 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi Mfalme Herode akasikia, kwa maana jina la Yesu lilikuwa limejulikana na watu wote, na watu walikuwa wakisema: “Yohana mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu, na kwa sababu hiyo anatenda kazi zenye nguvu.”+ Marko 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wakamwambia: “Yohana Mbatizaji,+ na wengine, Eliya,+ na wengine bado, Mmoja wa manabii.”+ Luka 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wakajibu wakasema: “Yohana Mbatizaji; lakini wengine, Eliya, na wengine bado, kwamba mmoja wa manabii wa kale amefufuliwa.”+
2 na kuwaambia watumishi wake: “Huyu ndiye Yohana Mbatizaji. Alifufuliwa kutoka kwa wafu, na ndiyo sababu anatenda kazi zenye nguvu.”+
14 Basi Mfalme Herode akasikia, kwa maana jina la Yesu lilikuwa limejulikana na watu wote, na watu walikuwa wakisema: “Yohana mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu, na kwa sababu hiyo anatenda kazi zenye nguvu.”+
19 Wakajibu wakasema: “Yohana Mbatizaji; lakini wengine, Eliya, na wengine bado, kwamba mmoja wa manabii wa kale amefufuliwa.”+