Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na kuwaambia watumishi wake: “Huyu ndiye Yohana Mbatizaji. Alifufuliwa kutoka kwa wafu, na ndiyo sababu anatenda kazi zenye nguvu.”+

  • Marko 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi Mfalme Herode akasikia, kwa maana jina la Yesu lilikuwa limejulikana na watu wote, na watu walikuwa wakisema: “Yohana mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu, na kwa sababu hiyo anatenda kazi zenye nguvu.”+

  • Marko 8:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wakamwambia: “Yohana Mbatizaji,+ na wengine, Eliya,+ na wengine bado, Mmoja wa manabii.”+

  • Luka 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wakajibu wakasema: “Yohana Mbatizaji; lakini wengine, Eliya, na wengine bado, kwamba mmoja wa manabii wa kale amefufuliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki