Mathayo 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake?+ au mtu atatoa nini ili aipate+ nafsi yake? Luka 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa kweli, mtu anapata faida gani ikiwa anaupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake mwenyewe au apate hasara?+
26 Kwa maana mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake?+ au mtu atatoa nini ili aipate+ nafsi yake?
25 Kwa kweli, mtu anapata faida gani ikiwa anaupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake mwenyewe au apate hasara?+