18 (Kwa hiyo, mtu huyo alinunua+ shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu,+ akaanguka kichwa kwanza+ akapasuka kwa kelele katikati na matumbo yake yote yakamwagika nje.
7 Kwa kadiri alivyojitukuza mwenyewe na kuishi katika anasa isiyo na aibu, kwa kadiri hiyo mpeni mateso na maombolezo.+ Kwa maana moyoni mwake anaendelea kusema, ‘Ninaketi nikiwa malkia,+ nami si mjane,+ nami sitaona maombolezo kamwe.’+