Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 49:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Wale wanaotegemea riziki zao,+

      Na ambao wanaendelea kujisifu juu ya wingi wa utajiri wao,+

  • Mathayo 16:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake?+ au mtu atatoa nini ili aipate+ nafsi yake?

  • Marko 8:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa kweli, mtu anapata faida gani ikiwa ataupata ulimwengu wote na kuipoteza nafsi yake?+

  • Matendo 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 (Kwa hiyo, mtu huyo alinunua+ shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu,+ akaanguka kichwa kwanza+ akapasuka kwa kelele katikati na matumbo yake yote yakamwagika nje.

  • Ufunuo 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa kadiri alivyojitukuza mwenyewe na kuishi katika anasa isiyo na aibu, kwa kadiri hiyo mpeni mateso na maombolezo.+ Kwa maana moyoni mwake anaendelea kusema, ‘Ninaketi nikiwa malkia,+ nami si mjane,+ nami sitaona maombolezo kamwe.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki