Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa kadiri alivyojitukuza na kuishi katika anasa isiyo na aibu, kwa kadiri hiyo mpeni mateso na maombolezo. Kwa maana anaendelea kusema moyoni mwake: ‘Ninaketi nikiwa malkia, mimi si mjane, nami sitaona maombolezo kamwe.’+

  • Ufunuo 18:7
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 7 Kwa kadiri ambayo alijitukuza mwenyewe na kuishi katika anasa isiyo na aibu, kwa kadiri hiyo mteseni-teseni na kumpa ombolezo. Kwa maana moyoni mwake afuliza kusema, ‘Naketi nikiwa malkia, nami si mjane, nami sitaona maombolezo kamwe.’

  • Ufunuo
    Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
    • 18:7 re 265-266; ip-2 119

  • Ufunuo
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 18:7

      Upeo wa Ufunuo, kur. 265-266

      Unabii wa Isaya II, uku. 119

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki