9 Na walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, Yesu akawaamuru, akisema: “Msimwambie mtu yeyote maono hayo mpaka Mwana wa binadamu afufuliwe kutoka kwa wafu.”+
36 Na ile sauti ilipokuwa ikitokea Yesu alionekana akiwa peke yake.+ Lakini wakaendelea kukaa kimya nao hawakumwambia yeyote siku hizo lolote kati ya mambo waliyoona.+