9 Na walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, Yesu akawaamuru, akisema: “Msimwambie mtu yeyote maono hayo mpaka Mwana wa binadamu afufuliwe kutoka kwa wafu.”+
9 Walipokuwa wakishuka kutoka kwenye ule mlima, akawaagiza waziwazi wasimsimulie+ mtu yeyote kile walichoona, mpaka baada ya Mwana wa binadamu kufufuka kutoka kwa wafu.+