24 Na habari juu yake ikaenea katika Siria+ yote; nao wakamletea wote waliokuwa na hali mbaya,+ waliokuwa wakitaabishwa na magonjwa na kuteswa kwa namna mbalimbali, wenye roho waovu na wenye kifafa+ na watu waliopooza, naye akawaponya.
40 Lakini jua lilipokuwa likitua, wale wote waliokuwa na watu wanaougua magonjwa mbalimbali wakawaleta kwake. Akawa akiwaponya kwa kuweka mikono yake juu ya kila mmoja wao.+