Mathayo 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi, akamwita mtoto mchanga, akamweka katikati yao+ Marko 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye akachukua watoto akawakumbatia na kuanza kuwabariki, akiweka mikono yake juu yao.+ Luka 9:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Yesu, akijua mawazo ya mioyo yao, akachukua mtoto mchanga, akamweka kando yake+ Luka 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hata hivyo, Yesu akawaita wale watoto, akisema: “Waacheni watoto wachanga waje kwangu, wala msijaribu kuwazuia. Kwa maana ufalme wa Mungu ni wa wale walio kama hao.+
16 Hata hivyo, Yesu akawaita wale watoto, akisema: “Waacheni watoto wachanga waje kwangu, wala msijaribu kuwazuia. Kwa maana ufalme wa Mungu ni wa wale walio kama hao.+