Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi, akamwita mtoto mchanga, akamweka katikati yao+

  • Marko 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye akachukua watoto akawakumbatia na kuanza kuwabariki, akiweka mikono yake juu yao.+

  • Luka 9:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Yesu, akijua mawazo ya mioyo yao, akachukua mtoto mchanga, akamweka kando yake+

  • Luka 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hata hivyo, Yesu akawaita wale watoto, akisema: “Waacheni watoto wachanga waje kwangu, wala msijaribu kuwazuia. Kwa maana ufalme wa Mungu ni wa wale walio kama hao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki