Mathayo 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi, akamwita mtoto mchanga, akamweka katikati yao+ Marko 9:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Naye akamchukua mtoto mchanga, akamsimamisha katikati yao, akamkumbatia na kuwaambia:+