Mwanzo 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mungu akamuumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimuumba;+ mwanamume na mwanamke aliwaumba.+ Mwanzo 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwanamume na mwanamke aliwaumba.+ Baada ya hapo akawabariki, akawaita jina lao Mwanadamu+ siku ile walipoumbwa.+ Mathayo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Akajibu, akasema: “Je, hamkusoma kwamba yeye aliyewaumba hao kutoka mwanzo aliwafanya mwanamume na mwanamke+
27 Mungu akamuumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimuumba;+ mwanamume na mwanamke aliwaumba.+
2 Mwanamume na mwanamke aliwaumba.+ Baada ya hapo akawabariki, akawaita jina lao Mwanadamu+ siku ile walipoumbwa.+
4 Akajibu, akasema: “Je, hamkusoma kwamba yeye aliyewaumba hao kutoka mwanzo aliwafanya mwanamume na mwanamke+