Mathayo 20:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu akawasikitikia, akayagusa macho yao,+ na mara moja wakapata kuona, nao wakamfuata.+ Luka 18:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na mara moja akapata kuona tena,+ naye akaanza kumfuata, akimtukuza Mungu.+ Pia, watu wote, walipoona hilo, wakamsifu Mungu.
43 Na mara moja akapata kuona tena,+ naye akaanza kumfuata, akimtukuza Mungu.+ Pia, watu wote, walipoona hilo, wakamsifu Mungu.