Mathayo 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Walio wengi katika umati wakatandaza mavazi+ yao ya nje barabarani, nao wengine wakaanza kukata matawi kutoka kwenye miti na kuyatandaza barabarani.+ Luka 19:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Alipokuwa akisonga+ mbele wakawa wakitandaza mavazi yao ya nje barabarani.+
8 Walio wengi katika umati wakatandaza mavazi+ yao ya nje barabarani, nao wengine wakaanza kukata matawi kutoka kwenye miti na kuyatandaza barabarani.+