40 Kisha watu wote wakapanda wakiwa wanamfuata, na watu walikuwa wakipiga filimbi+ na kushangilia kwa shangwe kubwa,+ hivi kwamba dunia+ ikapasuka kwa sababu ya kelele zao.
13 wakachukua matawi ya mitende+ na kutoka nje wakutane naye. Nao wakaanza kupaaza sauti:+ “Mwokoe, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova,+ naam, mfalme+ wa Israeli!”