9 “Shangilia sana, Ee binti Sayuni.+ Piga kelele za ushindi,+ Ee binti Yerusalemu. Tazama! mfalme+ wako anakuja kwako.+ Yeye ni mwadilifu, ndiyo, ameokolewa;+ ni mnyenyekevu,+ naye amepanda juu ya punda, juu ya mnyama mkomavu, mwana wa punda-jike.+
29 “Wanaume, akina ndugu, inaruhusika kusema nanyi kwa uhuru wa kusema juu ya Daudi yule kichwa cha familia, kwamba alikufa+ na pia akazikwa na kaburi lake liko katikati yetu mpaka leo hii.