Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa.

  • Mathayo 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tena kwa kweli ninawaambia ninyi, Wawili kati yenu wakikubaliana duniani kuhusu jambo lolote lenye maana ambalo wanapaswa kuomba, litatendeka kwao kwa sababu ya Baba yangu aliye mbinguni.+

  • Mathayo 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na mambo yote mnayoomba katika sala, mkiwa na imani, mtapokea.”+

  • Luka 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi ninawaambia ninyi, Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta,+ nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi, nanyi mtafunguliwa.

  • Yohana 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pia, lolote lile mtakaloomba katika jina langu, nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa kuhusiana na Mwana.+

  • Yohana 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mkikaa katika muungano pamoja nami na maneno yangu yakae ndani yenu, ombeni lolote mnalotaka nalo litatukia kwenu.+

  • Yohana 16:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mpaka wakati huu wa sasa ninyi hamjaomba hata jambo moja katika jina langu. Ombeni nanyi mtapokea, ili shangwe yenu ipate kujazwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki