Mathayo 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa. Mathayo 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tena kwa kweli ninawaambia ninyi, Wawili kati yenu wakikubaliana duniani kuhusu jambo lolote lenye maana ambalo wanapaswa kuomba, litatendeka kwao kwa sababu ya Baba yangu aliye mbinguni.+ Mathayo 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na mambo yote mnayoomba katika sala, mkiwa na imani, mtapokea.”+ Luka 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi ninawaambia ninyi, Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta,+ nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi, nanyi mtafunguliwa. Yohana 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pia, lolote lile mtakaloomba katika jina langu, nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa kuhusiana na Mwana.+ Yohana 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mkikaa katika muungano pamoja nami na maneno yangu yakae ndani yenu, ombeni lolote mnalotaka nalo litatukia kwenu.+ Yohana 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mpaka wakati huu wa sasa ninyi hamjaomba hata jambo moja katika jina langu. Ombeni nanyi mtapokea, ili shangwe yenu ipate kujazwa.+
7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa.
19 Tena kwa kweli ninawaambia ninyi, Wawili kati yenu wakikubaliana duniani kuhusu jambo lolote lenye maana ambalo wanapaswa kuomba, litatendeka kwao kwa sababu ya Baba yangu aliye mbinguni.+
9 Basi ninawaambia ninyi, Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta,+ nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi, nanyi mtafunguliwa.
13 Pia, lolote lile mtakaloomba katika jina langu, nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa kuhusiana na Mwana.+
7 Mkikaa katika muungano pamoja nami na maneno yangu yakae ndani yenu, ombeni lolote mnalotaka nalo litatukia kwenu.+
24 Mpaka wakati huu wa sasa ninyi hamjaomba hata jambo moja katika jina langu. Ombeni nanyi mtapokea, ili shangwe yenu ipate kujazwa.+