Mathayo 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akawaambia: “Sanamu hii na mwandiko huu ni za nani?”+ Luka 20:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Nionyesheni dinari. Ina sanamu na mwandiko wa nani?” Wakasema: “Wa Kaisari.”+