Isaya 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+ Zekaria 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Na itatukia katika nchi yote,” asema Yehova, “kwamba sehemu mbili ndani yake ndizo zitakazokatiliwa mbali na kwisha;+ lakini sehemu ya tatu itaachwa ndani yake.+
9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+
8 “Na itatukia katika nchi yote,” asema Yehova, “kwamba sehemu mbili ndani yake ndizo zitakazokatiliwa mbali na kwisha;+ lakini sehemu ya tatu itaachwa ndani yake.+