Mathayo 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana ninyi mna maskini+ pamoja nanyi sikuzote, lakini hamtakuwa pamoja nami sikuzote.+ Yohana 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana mna maskini+ pamoja nanyi sikuzote, lakini mimi hamtakuwa pamoja nami sikuzote.”