11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+
7 Kwa maana mna maskini+ pamoja nanyi sikuzote, na wakati wowote ule mnapotaka mnaweza kuwafanyia mema sikuzote, lakini mimi hamtakuwa pamoja nami sikuzote.+