Kumbukumbu la Torati 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+ Yohana 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana mna maskini+ pamoja nanyi sikuzote, lakini mimi hamtakuwa pamoja nami sikuzote.”
11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+