Zaburi 38:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wenye kunipenda na wenzangu wanaendelea kusimama mbali na pigo langu,+Na rafiki zangu wamesimama mbali.+ Zaburi 88:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Umewaweka rafiki zangu mbali nami;+Umeniweka kuwa kama kitu chenye kuchukiza sana kwao.+Niko chini ya kizuizi wala siwezi kwenda.+ 2 Timotheo 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika kujitetea kwangu mara ya kwanza hakuna yeyote aliyekuja upande wangu, bali wote waliniacha+—hilo lisihesabiwe kwao+—
11 Nao wenye kunipenda na wenzangu wanaendelea kusimama mbali na pigo langu,+Na rafiki zangu wamesimama mbali.+
8 Umewaweka rafiki zangu mbali nami;+Umeniweka kuwa kama kitu chenye kuchukiza sana kwao.+Niko chini ya kizuizi wala siwezi kwenda.+
16 Katika kujitetea kwangu mara ya kwanza hakuna yeyote aliyekuja upande wangu, bali wote waliniacha+—hilo lisihesabiwe kwao+—