58 Lakini Petro akaendelea kumfuata akiwa mbali kiasi, mpaka katika ua+ wa kuhani mkuu, na, baada ya kuingia ndani, akaketi pamoja na watumishi wa nyumbani ili kuona matokeo.+
15 Sasa Simoni Petro na vilevile mwanafunzi mwingine alikuwa akimfuata Yesu.+ Mwanafunzi huyo alijulikana na kuhani mkuu, naye akaingia pamoja na Yesu ndani ya ua wa kuhani mkuu,