Isaya 53:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alikazwa sana,+ naye alijiachilia ateswe;+ ingawa hivyo hakufungua kinywa chake. Alikuwa akiletwa kama kondoo machinjioni;+ na kama kondoo-jike ambaye amekuwa bubu mbele ya wakataji-manyoya wake, yeye pia hakufungua kinywa chake.+ Mathayo 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini hakumjibu, hata neno moja, hivi kwamba gavana akastaajabu sana.+ Yohana 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 naye akaingia ndani ya jumba la gavana tena na kumwambia Yesu: “Wewe ni mtu wa kutoka wapi?” Lakini Yesu hakumjibu.+
7 Alikazwa sana,+ naye alijiachilia ateswe;+ ingawa hivyo hakufungua kinywa chake. Alikuwa akiletwa kama kondoo machinjioni;+ na kama kondoo-jike ambaye amekuwa bubu mbele ya wakataji-manyoya wake, yeye pia hakufungua kinywa chake.+
9 naye akaingia ndani ya jumba la gavana tena na kumwambia Yesu: “Wewe ni mtu wa kutoka wapi?” Lakini Yesu hakumjibu.+