Mathayo 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo, wakaondoka upesi kaburini, wakiwa na woga na shangwe kubwa, wakakimbia kuwajulisha wanafunzi wake.+ Luka 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 nao wakarudi kutoka kwenye kaburi wakawapa habari ya mambo hayo yote wale kumi na mmoja na wale wengine wote.+
8 Kwa hiyo, wakaondoka upesi kaburini, wakiwa na woga na shangwe kubwa, wakakimbia kuwajulisha wanafunzi wake.+
9 nao wakarudi kutoka kwenye kaburi wakawapa habari ya mambo hayo yote wale kumi na mmoja na wale wengine wote.+