Mambo ya Walawi 13:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Siku zote ambazo pigo hilo litakuwa ndani yake atakuwa si safi. Yeye si safi. Atakaa akiwa ametengwa. Makao yake yatakuwa nje ya kambi.+ Mathayo 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na, tazama! mtu mwenye ukoma+ akaja, akaanza kumsujudia, na kusema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”
46 Siku zote ambazo pigo hilo litakuwa ndani yake atakuwa si safi. Yeye si safi. Atakaa akiwa ametengwa. Makao yake yatakuwa nje ya kambi.+
2 Na, tazama! mtu mwenye ukoma+ akaja, akaanza kumsujudia, na kusema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”