Mathayo 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na kusema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Msipogeuka na kuwa kama watoto wachanga,+ hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.+ Marko 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa kweli ninawaambia ninyi, Yeyote yule asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto mchanga hataingia kamwe ndani yake.”+
3 na kusema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Msipogeuka na kuwa kama watoto wachanga,+ hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.+
15 Kwa kweli ninawaambia ninyi, Yeyote yule asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto mchanga hataingia kamwe ndani yake.”+