-
Mathayo 19:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Huyo kijana akamwambia: “Nimeyashika yote hayo; ni nini bado ninachokosa?”
-
-
Marko 10:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Mtu huyo akamwambia: “Mwalimu, mambo yote hayo nimeyashika tangu ujana wangu na kuendelea.”
-