-
Marko 10:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Mtu huyo akamwambia: “Mwalimu, nimeyashika mambo hayo yote tangu nilipokuwa kijana.”
-
-
Marko 10:20Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
20 Mtu huyo akamwambia: “Mwalimu, mambo yote hayo nimeyashika tangu ujana wangu na kuendelea.”
-