Mathayo 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Sasa walipokuwa wakienda kutoka Yeriko+ umati mkubwa ukamfuata. Marko 10:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Nao wakaingia Yeriko. Lakini yeye na wanafunzi wake na umati mkubwa walipokuwa wakitoka Yeriko, Bartimayo (mwana wa Timayo), kipofu aliye mwombaji, alikuwa ameketi kando ya barabara.+
46 Nao wakaingia Yeriko. Lakini yeye na wanafunzi wake na umati mkubwa walipokuwa wakitoka Yeriko, Bartimayo (mwana wa Timayo), kipofu aliye mwombaji, alikuwa ameketi kando ya barabara.+