Mathayo 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Sasa walipokuwa wakienda kutoka Yeriko+ umati mkubwa ukamfuata. Luka 18:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Sasa alipokuwa akikaribia Yeriko mtu fulani aliye kipofu alikuwa ameketi kando ya barabara akiombaomba.+
35 Sasa alipokuwa akikaribia Yeriko mtu fulani aliye kipofu alikuwa ameketi kando ya barabara akiombaomba.+