Marko 10:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Nao wakaingia Yeriko. Lakini yeye na wanafunzi wake na umati mkubwa walipokuwa wakitoka Yeriko, Bartimayo (mwana wa Timayo), kipofu aliye mwombaji, alikuwa ameketi kando ya barabara.+ Luka 18:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Sasa alipokuwa akikaribia Yeriko mtu fulani aliye kipofu alikuwa ameketi kando ya barabara akiombaomba.+
46 Nao wakaingia Yeriko. Lakini yeye na wanafunzi wake na umati mkubwa walipokuwa wakitoka Yeriko, Bartimayo (mwana wa Timayo), kipofu aliye mwombaji, alikuwa ameketi kando ya barabara.+
35 Sasa alipokuwa akikaribia Yeriko mtu fulani aliye kipofu alikuwa ameketi kando ya barabara akiombaomba.+