Mathayo 20:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu akawasikitikia, akayagusa macho yao,+ na mara moja wakapata kuona, nao wakamfuata.+ Luka 7:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Lakini akamwambia yule mwanamke: “Imani yako imekuokoa;+ nenda zako kwa amani.”+ Luka 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akamwambia: “Ondoka uende zako; imani yako imekuponya.”+